![]() |
KHADIJA YUSUF wa Jahazi Modern Taarabu akifanya vitu vyake siku ya Iddy ndani ya ukumbi wa Dar Live |
![]() |
Bondia "MANENO OSWALD" akitangazwa kuwa mshindi mara baada ya kushinda pambano lililomkutanisha na bondia mwenzie RASHID MATUMLA. |
![]() |
Linah akiwajibika stejini ndani ya ukumbi wa Dar Live siku ya sikukuu ya Iddy |
![]() |
Mwasiti naye akishambulia steji ya ukumbi wa Dar Live siku ya sikukuu ya Iddy |
![]() |
Maunda Zorro naye akifanya vitu vyake siku ya sikukuu ya Iddy ndani ya ukumbi wa Dar Live |
Mwasiti na fan wake katika picha. |
Linah na fan wake katika picha. |
No comments:
Post a Comment