Thursday, August 16, 2012

STILL A WEEK PIPI AITWE MAMA!!!

DOREEN a.k.a PIPI

Msanii maarufu wa kike nchini aliyewahi kutamba na kibao cha "njia panda" mnamo mwaka 2007 alichoshirikishwa na Barnaba  mwaka 2007 DOREEN a.k.a PIPI, anatarajiwa kuitwa mama baada ya wiki Moja.
Ndugu wa karibu na msanii huyo alizungumza hayo huku akiwataarifu baadhi ya marafiki wa Pipi kutoka jumba la vipaji Tanzania  katika maeneo ya T.H.T.

*BONGO LOOKUP INAPENDA KUMPA PONGEZI PIPI KWA KUAMUA KUWA MAMA MTARAJIWA!!!



No comments:

Post a Comment