Umati uliofurika kwenda kushuhudia shoo hiyo ulikuwa ni kuzidi kikomo kiasi kwamba kuonyesha how BONGO FLEVA na ARTISTS wake wanalink vyema maeneo hayo. Pia Watanzania waishio nchi hizo nao wameonekana kuisupport vyema tasnia hiyo kwa kushowup everyday in different events zihusizo wasanii wa kutoka nyumbani (Tanzania).
CHECK OUT...
No comments:
Post a Comment