Meneja
wa Heineken Tanzania, Uche Unigwe, ameelezea sababu za kampuni yake kuzindua
chupa mpya za aluminum zenye alama ya nyota za kinywaji hicho kuwa kutokana na kukua
kwa uchumi na pia kuongezeka kwa nguvu ya ununuzi katika soko hapa nchini.

Unigwe
aliongeza kuwa chupa hii mpya ya Heineken ni kiashiria cha bia ya hali ya juu,
lakini akasisitiza kuwa ladha ya kinywaji hicho itabaki ile ile inayofurahiwa
na zaidi ya mataifa 170 duniani.
Chupa
mpya ya Heineken ilizinduliwwa katika club mpya ya 327, mwishoni mwa wiki hii,
ambapo club hiyo pia ilikuwa ikizinduliwa kwa mara ya kwanza.
No comments:
Post a Comment