Thursday, July 11, 2013

GEMINAH.. VERY INTERESTED GROUP


Have you ever heard about the word Geminah!?? its a new group which contain two of very Talented arstists who are very famous in kanda and nchi nzima ya Tanzania, ambao kila mmoja aliwahi kutamba na vibao vyake kwa wakati wake.
Wanamuziki hao waliojaaliwa sauti za kumfanya shabiki wa muziki aliyekaa chini aweze kusimama, si wengine ni Amini na Barnaba.. ambao wote wawili walisomea muziki katika Chuo cha Muziki na Jumba la Kukuza Vipaji Tanzania THT, sasa wamekuja na ujio mpya wa kuamua kufanya kazi pamoja na kwa mafanikio hivi sasa wameshaachia nyimbo yao mpya inayoanza kupanda kuta za level ya juu katika Playlist za MaDJ mbalimbali katika vituo mbalimbali vya Redio hapa Nchini.

Ili kuisikia ngoma yao mpya click this link.. http://goo.gl/cjADM

No comments:

Post a Comment