Monday, July 23, 2012

RAISI DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AFUTURU NA VIONGOZI WA DINI MJINI MBEYA JANA.


Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa dini  mbalimbali aliowaalika katika Futari katika ikulu ya mjini Mbeya jana jioni.

Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika swala ya Magharibi muda mfupi kabla ya Futari ambayo aliwaalika viongozi wa dini mbalimbali mjini Mbeya jana.

Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akiwa anaongea jambo fulani na Viongozi wa dini mbalimbali  mjini Mbeya jana.

No comments:

Post a Comment